Archive for April 7th, 2026
Anglican Tabora
April 7, 2026
Maandalizi ya Kuzaliwa kwa Dayosisi Mpya ya Kahama
Kuanzishwa kwa Dayosisi ya Kahama ilijadiliwa na kuamuliwa katika Mkutano wa kumi na mbili (12) wa Sinodi takatifu ya Dayosisi ya Tabora iliyokutana tarehe 16 – 19 Juni, 2024 katika ukumbi wa Canon Nashon Nkugwe – Tabora Manispaa. Ambapo Halmashauri Kuu ya Kanisa Anglikana Tanzania iliyoketi Novemba 2025 Jijini Dodoma iliridhia Kahama kuwa Dayosisi
Read more
The Diocese of Tabora was inaugurated on 2nd July 1989. The current Diocesan Bishop is the Rt. Rev. Dr. Elias Chakupewa Mazi who was consecrated and enthroned since 29th May, 2011.