Maandalizi ya Kuzaliwa kwa Dayosisi Mpya ya Kahama

Kuanzishwa kwa Dayosisi ya Kahama ilijadiliwa na kuamuliwa katika Mkutano wa kumi na mbili (12) wa Sinodi takatifu ya Dayosisi ya Tabora iliyokutana tarehe 16 – 19 Juni, 2024 katika ukumbi wa Canon Nashon Nkugwe – Tabora Manispaa. Ambapo Halmashauri Kuu ya Kanisa Anglikana Tanzania iliyoketi Novemba 2025 Jijini Dodoma iliridhia Kahama kuwa Dayosisi

Read more

Anglican Diocese of Tabora. ©1989 —2026. All Rights Reserved. Designed by TDS